FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Sunday

SAME SAME T-SHIRT: SWIZZ BEATZ


Wednesday

HE HAS ALWAYS BEEN MY BRAND AMBASSADOR

NAMHESHIMU SANA HUYU JAMAA.. AMENISAIDIA SANA KATIKA KUTANGAZA BRAND YANGU YA SINGLE BUTTON.. HESHIMA YAKO DIAMOND PLATNUMZ

Sunday

BONGO WE GAT CHIDDI BENZ NOW CHRIS BROWN FLAUNTS NEW NOSE PIERCING

KAMA ULIKUWA HUJUI AMA HUJAONA.. CHRISS BROWN AMETOBOA PUA.. HII ITAKUWA SI MARA YA KWANZA KWA MASTAA KUTOBOA PUA... ALIANZA MAREHEMU TUPAC SHAKUR, NOW CHRIS BROWN NA KWA TANZANIA NI CHIDDI BENZ... UNADHANI PIN YA PUA INAMAANA GANI?


Friday

DIAMOND PLATNUMZ AZIDI KUPANDISHA UBORA WA KAZI ZAKE: USAHILI WA VIDEO MODELS 22 Sept 2012


Habari nilizozipata kupitia kwa mkurugenzi wa One touch zinasema,MSANII wa kimataifa wa Tanzania, Naseeb Abdul, anatarajia  kufanya usaili kwa ajili ya watu watakaotumika katika kurekodi video ya wimbo wake mpya ambao utaachiwa hivi karibuni.
Mkurugenzi wa kampuni ya One Touch Solutions, Petter Mwendapole alisema mjini Dar es Salaam kuwa Diamond amefikia uamuzi huo katika kuhakikisha kazi zake zinafanyika katika kiwango cha kimataifa.
“Jumamosi ijayo tutafanya usaili wa watu ambao wataonekana kwenye video hiyo, hii ni mara ya kwanza kwa kitu kama hiki kufanyika nchini kwetu ingawa wenzetu Ulaya wamekuwa wanafanya hivyo na wanaonekana wanakuwa wanalipwa tofauti na video nyingi za wasanii wa hapa kwetu na hao watakaochaguliwa kwenye video hiyo watalipwa pia,” alisema


Akizungumzia kuhusu video hiyo, Mwendapole alisema itarekodi ndani na nje ya nchi ili kuhakikisha inakidhi matakwa ya soko ambalo msanii huyo analiangalia kwa sasa huku video hiyo ikifanya na kampuni bora kabisa Tanzania.
Kwa upande wake Diamond alisema lengo kubwa la kufanya hivyo ni kuleta mapinduzi katika sekta ya muziki nchini lakini pia kutengeneza ajira kwa ajili ya wasichana na wavulana ambao wako mitaani lakini wanapenda muziki.
Diamond ambaye alikuwa nchini Marekani wiki iliyopita anatarajiwa tena kwenda Marekani kwa ajili ya onyesho moja la muziki.
Msanii huyo alifanya mapinduzi katika medani ya muziki wa bongo baada ya kufanya onyesho lake alilolipa jina la Diamond’s are Forever pale Mlimani City ambapo katika shoo hiyo aliifanya mwenyewe na kiingilio kikiwa sh 50,000 jambo ambalo halijawahi kufanyika katika ulimwengu wa muziki nchini. Haya sasa wale ambao tunasumbuana kila siku mnataka kuuza sura huu ni wakati wako wa kuuza sura pamoja na kulipwa juu sio zile video mnauza bure bure.. kama una mvuto na muonekano mzuri kwanini usipate hili nafasi? lets met next saturday.. Venue nitakujuza soon

Wednesday

NILIPATA WASAA WA KUSIKILIZA MANENO YA MH: BALOZI MANONGI, BALOZI WA TANZANIA NEW YORK

JIONI YA LEO NILIPATA MWALIKO WA KUMUONA MHESHIMIWA BALOZI WA TANZANIA HAPA NEW YORK. KWA HABARI NA PICHA BONYEZA HAPA

Another DAY: STREET SWAGG: MARTIN KADINDA



SIRUDI TANZANIA:MARTIN KADINDA





HERIETH PAUL MWANAMITINDO WA KITANZANIA MWENYE UMRI WA 18 AMEONEKANA KUNG'ARA KATIKA RUNWAY ZA FASHION WEEK MBALI MBALI.. NILISIKIA VIZURI SANA KUKUTANA NAE KATIKA NEW YORK FASHION WEEK MPAKA AKANIFANYA NIJISEMEE NINGEKUWA MDOGO NISINGETAKA KURUDI TANZANIA NINGETAFUTA NAFASI YA KUWEZA KUSIHI HUKU NA KUWEZA KUWASAIDIA WANAMITINDO WACHANGA TANZANIA KUWEKA KUVUNA DUNIANI.. SIJUI KIKWAKO NI NINI LAKINI NATAMANI KAMA TUNGEKUWA NA WANAMITINDO WENGI ZAIDI WANAPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA HUKU...

Sunday

SUNDAY STREET SWAGG: MARTIN KADINDA






THANK YOU CHINNESE FOR THE SERVICE, UNAKATWA KUCHA HUKU UNAPATA MASSAGE ON THESE CHAIRS


WAITING FOR MY CHINNESE GIRL....INSTYLE MAGAZINE ON MY HAND.. MASIKIONI MY EARPHONE NASIKILIZA KIZAIZAI YA DIAMOND PLATNUMZ SINA TATIZO.. MAANA WANAONGEA KICHINA SIELEWI HATA JAMBO MOJA ZAIDI YA PEDICURE NA MANICURE AMBAYO NDIO MANENO UNAULIZWA UKIINGIA TU MLANGONI..


HUDUMA NI KWA FOLENI.. ILA KIZURI NI KITU UNACHOKALIA NI MASSAGE CHAIRS SO HUKU UNAPATA MASSAGE NA HUKU UNASUBIRI HUDUMA.

UNAPATA HOT STONE MASSAGE YA MIGUU BAADA YA KUKATWA KUCHA.

SIJUI UTABINUA COMPUTER YAKO ILI KUANGALIA HIZI PICHA... MAANA NAHISI LUGHA GONGANA ILIMFANYA MPIGA PICHA AZIPIGE HIVI... YEYE ANAONGEA KICHINA NA MIMI NAONGEA KISWAHILI... PATA PICHA ILIKUWAJE HAPO?? KIINGEREZA HAJUI ZAIDI YA KICHINA NA MIMI KWAKUPENDA LUGHA YANGU NIKAWA NAONGEA KISWAHILI TU.. HEHEHHEHEHE I LOVED THIS MOMENT NATAMANI NINGEKUWA NILIREKODI VIDEO MNGECHEKA SANA...


OOOOOPS BAADA YA LUGHA GONGANA NIKALIPIA SERVICE NA KUSEPA.

Ally Rehmtullah's 2013: The Enchanted Jungle, too bad i missed this show















REVIEW: STAGE WAS SUPER, EVENT SET UP FROM ENTRANCE, VENUE AND COCKTAIL ZONE  ALL FINE. FOR MY POINT OF VIEW KWENYE DESIGNING I LOVED ALL THE PIECES BUT NILITAMANI SANA KAMA KUNGEKUWA NA ONE STORY.... ONE STORY I MEAN EITHER COLOUR OR MATERIAL... NIMEONA RANGI NYINGI AMBAZO ZINGEKUWA BALANCED IN ONE STORY INGEKUWA BALAA.. UKWELI NI KWAMBA THIS IS BEST SHOW SO FAR KWA MWAKA HUU TUSUBIRI RED RIBBON,SWAHILI FASHION WEEK NA NYINGINEZO ZA MWISHO WA MWAKA TUONE MABORESHO ZAIDI